Tuesday, January 24, 2023

Malaika wa Bwana

Tarehe 25/01/2013 saa 06:12
Mahali: Chumani Kwa Chenje
Tukio: nilisikia Sauti ikiniita, nilipotazama juu yangu nikaona mwangaza ulikuwa umejifuma Kwa mfano wa ringi.
Nikaomba Ni mwabudu Malaika yule.
Basi yule Malaika akanipandisha juu kishe akanimpa ujumbe uliokuwa umekusudiwa. Alipomaliza Huo ujumbe akanishukisha chini nilipokuwa.

No comments:

Post a Comment