Sunday, July 30, 2017

-Naibu Rais William Ruto hatimaye ameongea kuhusiana na uvamizi wa boma lake la Sugoi
-Ruto ameushutumu uvamizi huo na kuwaomba Wakenya kuangazi amani na umoja
-Ruto ametoa onyo kali kwa wanaopanga kuleta uoga kwamba watashindwa
Naibu Rais William Ruto atoa onyo kali baada ya uvamizi katika boma lake
Naibu Rais William Ruto
Naibu Rais William Ruto hatimaye ameongea kuhusiana na uvamizi wa ulitekelezwa katika boma lake la Sugoi Jumamosi Julai 29. Naibu Rais William Ruto hatimaye ameongea kuhusiana na uvamizi wa boma lake la Sugoi
-Ruto ameushutumu uvamizi huo na kuwaomba Wakenya kuangazi amani na umoja
-Ruto ametoa onyo kali kwa wanaopanga kuleta uoga kwamba watashindwa
Naibu Rais William Ruto atoa onyo kali baada ya uvamizi katika boma lake
Naibu Rais William Ruto
Naibu Rais William Ruto hatimaye ameongea kuhusiana na uvamizi wa ulitekelezwa katika boma lake la Sugoi Jumamosi Julai 29.https://kiswahili.tuko.co.ke/248145-naibu-rais-william-ruto-atoa-onyo-kali-baada-ya-uvamizi-katika-boma-lake.html

PEACE DURING THIS ELECTION PERIOD MY FELLOW KENYANS

My country men and women, please be ambassadors of peace in this great nation called Kenya. This country is so bigger than our interests. When you vote, please vote right. www.batashizo.blogspot.com